Instance Results

Topics:kumtambikia+mungu
In:instances

Planning worship? Check out our sister site, ZeteoSearch.org, for 20+ additional resources related to your search.
Showing 31 - 40 of 65Results Per Page: 102050
TextPage scan

Nifungulieni mlango

Author: B. Schmolck, 1672-1737 Hymnal: Mwimbieni Bwana #233 (1988) Topics: Kumtambikia Mungu Sikukuu za Wakristo Lyrics: 1 Nifungulieni mlango, niingie Sayuni. Ndipo nitakapoona raha na furaha kuu. Mwokozi anapokaa Mungu wa utukufu. 2 Nimekuja kwako Bwana, nakushihi: Njoo kwangu. Unapochagua wewe pana raha ya kweli. Nakupa moyo wangu uwe kikao chako. 3 Unisaidie Bwana, nijiweke tayari, nyimbo zangu na maombi yakubalike kwako. Utakase mwili huu uwe wako, Bwanangu. Languages: Swahili
TextPage scan

Ukae kwetu Bwana

Author: J. Stegmann, 1588-1632 Hymnal: Mwimbieni Bwana #234 (1988) Topics: Kumtambikia Mungu Sikukuu za Wakristo Lyrics: 1 Ukae kwetu Bwana na rehema yako, shetani asiweze kutudhuru tena. 2 Ukae kwetu Yesu na neno la kweli, tupate ukombozi tukilifuata. 3 Ukae kwetu nuru na mwanga wa mbingu, utuongoze njia iendayo kwako. 4 Ukae kwetu Bwana mwenye enzi yote, utupe nguvu nyingi tukutumikie. 5 Ukae kwetu Mponya na nguvu yako kuu, adui na dunia wasituharibu. 6 Ukae kwetu Mungu na ukweli wakio. tusikache wewe. Utupeleke juu! Languages: Swahili
TextPage scan

Yesu tumekujia

Author: T. Clausnitzer, 1618-1684 Hymnal: Mwimbieni Bwana #236 (1988) Topics: Kumtambikia Mungu Sikukuu za Wakristo Lyrics: 1 Yesu tumekujia tusikie neno lako, ufumbue mwenyewe masikio na mioyo. Nia yetu na mawazo yatulie mbele yako. 2 Hatutalifahamu neno lako la uzima, usipoliondoa giza la mioyo yetu. Roho wako awe nasi tufuate usemayo. 3 Yesu Mwana wa Mungu sisi sote twakuomba: Ufungue mioyo, neno lako liingie. Tukiimba,tukiomba, utubariki kwa wingi! Languages: Swahili
TextPage scan

Safirini kwa amani

Author: G. Knak, 1806-1873 Hymnal: Mwimbieni Bwana #239 (1988) Topics: Kumtambikia Mungu Sikukuu za Wakristo Lyrics: Safirini kwa amani, na Mungu wetu awalinde tena majeshi ya mbingu. Yesu akiwaongoza mwafurahiwa hila siku: Za raha hata za shida. Kwa heri! Kwa heri! Mwokozi wetu mkuu awe nanyi! Tuombapo tusisahau kuombeana daima. Languages: Swahili
Text

Kristo usituondoke

Author: N. Selnecker, 1532 (1530)-1592 Hymnal: Mwimbieni Bwana #243 (1988) Topics: Kumtambikia Mungu Sikukuu za Wakristo Lyrics: 1 Kristo usituondoke sababu mchana waisha, mwanga wa Neno la Mungu usiuzimishe kwetu! 2 Nyakati hizi za mwisho tusaidie kushika neno la huruma yako nalo fumbo takatifu. 3 Kundi lako ulilinde ulikusanye mwenyewe, libariki neno lako, litangaziwe popote! 4 Mambo na mashauri yote si yetu ila ni yako, kwa hiyo wasimamishe wanaokutegemea. 5 Neno lako ngome kubwa, hata boma la makundi: kwa neno lako tulishe, tusitafute mengine! Languages: Swahili
Text

Huruma zako ni nyingi

Hymnal: Mwimbieni Bwana #244 (1988) Topics: Kumtambikia Mungu Sikukuu za Wakristo Lyrics: 1 Huruma zako ni nyingi Yesu siku kwa siku, mapenzi yako yapita kiasi cha maneno! 2 Watupenda na kutoa damuyo msalabani, watakatifu wapenda kumwona Mungu wao. 3 Watupenda tangu mwanzo, ni mwanzo wa furaha. Mwisho we kutegemea ni kukuona wewe. 4 Tujue, Bwana, Mkombozi, utupendavyo sasa, mpaka tutakapokufa, tutakuona wewe. Languages: Swahili
Page scan

Yesu ni rafiki yetu

Author: J. Scriven Hymnal: Mwimbieni Bwana #258 (1988) Topics: Kumtambikia Mungu Kumsifu na kumwomba Mungu Languages: Swahili
Page scan

Sifuni Bwana watoto

Author: G. Gessner Hymnal: Mwimbieni Bwana #260 (1988) Topics: Kumtambikia Mungu Kumsifu na kumwomba Mungu First Line: Sifuni Bwana Languages: Swahili
Page scan

Bwana wetu aliye mwema

Author: K. F. Herrosee, 1754-1821 Hymnal: Mwimbieni Bwana #262 (1988) Topics: Kumtambikia Mungu Kumsifu na kumwomba Mungu First Line: Bwana wetu Languages: Swahili
Page scan

Njooni tuimbe wimbo huu

Author: E. Gebhardt, 1832-1899 Hymnal: Mwimbieni Bwana #263 (1988) Topics: Kumtambikia Mungu Kumsifu na kumwomba Mungu Languages: Swahili

Pages


Export as CSV