Text: | Kwa kuwa hutaogopa |
1 Kwa kuwa hutaogopa
ushuhuda wake,
Ishara ile msalaba
ndiyo alama kuu.
2 Kwa kuwa hutaogopa
kusimama nae,
Utukufu uupokee,
na kuaibishwa.
3 Kwa kuwa hutauacha
uimara wako,
Tetea jina la Yesu,
usije ogopa.
4 Kwa kuwa utapitia kwa
njia nyembamba,
Inua huo msalaba usiaibike.
4 Nasi twajiweka kwake,
kwa hiyo ishara,
Msalaba beba duniani,
Mbinguni ni Taji.
Text Information | |
---|---|
First Line: | Kwa kuwa hutaogopa |
Title: | Kwa kuwa hutaogopa |
Language: | Swahili |
Publication Date: | 1988 |
Topic: | Kumtambikia Mungu: Sikukuu za Wakristo |
Notes: | Sauti: Hymnal Companion #455 Sacred Songs and Solos #541 |