Instance Results

Topics:kuzaliwa+kwa+yesu
In:instances

Planning worship? Check out our sister site, ZeteoSearch.org, for 20+ additional resources related to your search.
Showing 11 - 20 of 33Results Per Page: 102050
Text

Wacristo furahini

Hymnal: Mwimbieni Bwana #34 (1988) Topics: Kuzaliwa kwa Yesu First Line: Wakristo furahini Lyrics: 1 Wakristo furahini, furahini sana! Mwaipigiwa leo mbiu yenu njema! Malaika wanaimba huko juu mbinguni, wanaimba vizuri sauti ya kushangaa! wanaimba vizuri sauti ya kushangaa! 2 Hivi wanavyoimba: Furahini nyote! Acheni kuogopa, tazameni nyote kwani amezaliwa Mwokozi wa pekee: ni Bwana Yesu Kristo, Mwana Mungu wetu! ni Bwana Yesu Kristo, Mwana Mungu wetu! 3 Shangilieni nyote na kusikiliza. Wapigieni nyote mbiu na sauti kuu. Mungu katupa sote mtoto wa mbinguni, kwa kutupenda sisi amekuja kwetu. kwa kutupenda sisi amekuja kwetu. Languages: Swahili

Sote tufurahi

Author: Wilson Kyakajumba Hymnal: Mwimbieni Bwana #36 (1988) Topics: Kuzaliwa kwa Yesu Refrain First Line: Sasa yametimia Languages: Swahili

Tushangilie sote

Author: Mudimi Ntandu Hymnal: Mwimbieni Bwana #39 (1988) Topics: Kuzaliwa kwa Yesu Languages: Swahili

Yesu ulale

Author: Mudimi Ntandu Hymnal: Mwimbieni Bwana #42 (1988) Topics: Kuzaliwa kwa Yesu Languages: Swahili

Bwana Yesu amezaliwa

Author: Boanerge Moshi Hymnal: Mwimbieni Bwana #44 (1988) Topics: Kuzaliwa kwa Yesu First Line: Bwana Yesu Languages: Swahili
TextPage scan

Siku ya furaha

Author: J. D. Falk, 1786-1826 Hymnal: Mwimbieni Bwana #14 (1988) Topics: Kuzaliwa kwa Yesu First Line: Siku ya furaha, siku ya uzima Lyrics: 1 Siku ya furaha, siku ya uzima aliyozaliwa Yesu. Tulipotea, Yesu akaja. Furahini, furahimi, Wakristo! Tulipotea, Yesu akaja. Furahini, furahimi, Wakristo! 2 Siku ya furaha, siku ya uzima aliyozaliwa Yesu. Yesu ameshuka, atuokoe. Furahini, furahini, Wakristo! Yesu ameshuka, atuokoe. Furahini, furahini, Wakristo! 3 Siku ya furaha, siku ya uzima aliyozaliwa Yesu. Malaika wote wamsifu Mungu. Furahini, furahini, Wakristo! Malaika wote wamsifu Mungu. Furahini, furahini, Wakristo! Languages: Swahili
Text

Mwema, mwema, mwema ni Bwana

Hymnal: Mwimbieni Bwana #35 (1988) Topics: Kuzaliwa kwa Yesu First Line: Mwema, mwema, mwema ni Bwana mbinguni, na Lyrics: Mwema, mwema, mwema ni Bwana mbinguni, na utengemano, na utengemano kwa watu wanaompendeza, kwa watu wanaompendeza Mwema ni Bwana mbinguni mwema ni Bwana mbinguni, nchi itengemane, watu wapendezwe, wote wakampendeze Bwana. Mwema, mwema, mwema ni Bwana mbinguni na utengemano kwa watu wanaompendeza, kwa watu wanaompendeza! Scripture: Luke 2:14 Languages: Swahili
TextPage scan

Usiku mtakatifu

Author: J. Mohr, 1792-1848 Hymnal: Mwimbieni Bwana #19 (1988) Topics: Kuzaliwa kwa Yesu Lyrics: 1 Usiku mtakatifu! Wengine walala wakeshao ni Yosefu tu na Maria waliomlinda Yesu mwana mzuri Yesu mwana mzuri. 2 Usiku mtakatifu! Wachunga wapewa habari nzuri na malaika, zienezwe popote sasa: Yesu mponya kaja Yesu mponya kaja. 3 Usiku mtakatifu! Siku ya furaha imetuangaza Kimungu tumeupewa ukombozi Kristo amefika Kristo amefika. Languages: Swahili
TextPage scan

Watoto njooni Betlehemu

Author: Chr. v. Schmidt Hymnal: Mwimbieni Bwana #21 (1988) Topics: Kuzaliwa kwa Yesu Lyrics: 1 Watoto njooni Bethlehemu, njooni zizini kuona makuu Mungu aliyotutendea leo, watoto waone furaha kubwa. 2 Twaona Mtoto mzuri hapa, wazee wamtazama, wanafuahi! Wachungaji wote wanamwangukia, malaika wa mbingu wanamwimbia. 3 Pigeni magoti na wachungaji! Wakubwa, wadogo tumnyenyekee! Tuimbe na sisi kwa furaha kuu nyimbo za kumsifu Mwokozi Yesu! 4 Watoka mbinguni utuokoe, waona uchungu sababu yetu, leo wazaliwa mwana kikiwa. Halafu wateswa, unatufia. 5 Twapenda kukupa mioyo yetu, twataka kukutumikia vema. Takasa mioyo ikupendeze, tupate kufika kwako mbinguni. Languages: Swahili
TextPage scan

Mpige mbio, wachungaji

Hymnal: Mwimbieni Bwana #30 (1988) Topics: Kuzaliwa kwa Yesu Lyrics: 1 Mpige mbio, wachungaji mpige mbio wote, Chukueni na filimbi na zumari pia. Mpige mbio wote mpige mbio woe Betlehemu kwennya hori waliao ng'ombe. 2 Mumtazame mtoto mzuri aliyezaliwa, na wazazi wake mtoto wako huko naye Ni Yosefu baba na Maria mama, mwanamwali mzuri sana kama malaika juu. 3 Hebu njooni, ee jamani mlete nguo nzuri! Tumlazeni mtoto wetu kwa uzuri wote! Twakubembeleza Wewe mtoto lala! Lala Yesu mpenzi wetu twakubembeleza. Languages: Swahili

Pages


Export as CSV