Author: J. D. Falk, 1786-1826 Hymnal: Mwimbieni Bwana #14 (1988) Topics: Kuzaliwa kwa Yesu First Line: Siku ya furaha, siku ya uzima Lyrics: 1 Siku ya furaha, siku ya uzima
aliyozaliwa Yesu.
Tulipotea, Yesu akaja.
Furahini, furahimi, Wakristo!
Tulipotea, Yesu akaja.
Furahini, furahimi, Wakristo!
2 Siku ya furaha, siku ya uzima
aliyozaliwa Yesu.
Yesu ameshuka, atuokoe.
Furahini, furahini, Wakristo!
Yesu ameshuka, atuokoe.
Furahini, furahini, Wakristo!
3 Siku ya furaha, siku ya uzima
aliyozaliwa Yesu.
Malaika wote wamsifu Mungu.
Furahini, furahini, Wakristo!
Malaika wote wamsifu Mungu.
Furahini, furahini, Wakristo!
Languages: Swahili
Siku ya furaha