Uliyesulibishwa

Uliyesulibishwa

Published in 1 hymnal

Representative Text

1 Uliyesulibishwa,
Mtakatifu Bwanangu,
uwe ngao shidani,
uniombee mimi.
Uliyesulibishwa,
Mtakatifu Bwanangu!

2 Wongofu sina hata,
niondolee makosa.
Mwovu akinishtaki,
nasumbuka rohoni.
Wongofu sina hata,
niondolee makosa.

3 Wewe tu nipokee,
nakukimbilia wee.
Hata nifanye bidii,
nikatoe machozi.
Wewe tu nipokee,
nakukimbilia wee.

4 Uwe ngao shidani,
niombee na mimi!
Hapa nikiumizwa,
saa ya mwisho ikija:
Uwe ngao shidani,
niombee na mimi!


Source: Mwimbieni Bwana: msifuni Mungu, mfalme wa mbingu na nchi! #84

Text Information

First Line: Uliyesulibishwa
Language: Swahili
Notes: Sauti: "Spanish chant," Brosse Missionsharfe, Erster Band #170, Augustana Hymnal #96

Instances

Instances (1 - 1 of 1)
TextPage Scan

Mwimbieni Bwana #84

Suggestions or corrections? Contact us