Text: | Tuimbe na kusifu |
1 Tuimbe na kusifu
kwa nyimbo za furaha:
Yesu Bwana wetu
amezaliwa leo
zizini Betlehemu,
furaha ya mioto.
Mponya na Mwokozi,
tunakusifu.
2 Nakutamani sana,
uliyetoka juu.
Ee Mowokozi mwema
tuliza moyo wangu,
unipe neema yako,
Mtoto wa huruma.
Univute juu, univute juu.
3 Rehema zake Mungu
ni nyingi, alimtuma
Mwana wake Yesu,
awakomboe watu,
atufanyie njia,
tufike tena kwetu.
Kwetu ni kwa Mungu,
kwetu kwa Mungu.
4 Na watu wakaao
katika giza wote
wanakungojea
wewe Mowokozi wetu,
na kukufurahia
uliyetukomboa.
Yesu Bwana wetu
twakutukuza.
Text Information | |
---|---|
First Line: | Tuimbe na kusifu |
Title: | Tuimbe na kusifu |
German Title: | Nun singet und seid froh |
Language: | Swahili |
Publication Date: | 1988 |
Topic: | Kuzaliwa kwa Yesu |
Notes: | Sauti: In dulci jubilo, Asili: Karne 1500, Posaunen Buch, Erster Band #231, Lutheran Book of Worship #55 |